Aidha, Serikali imeshangazwa na taarifa za upotoshaji na dhana ya kuchangishana kwa ajili ya matibabu ya Mhe. Lissu, akiwa Mtanzania na Mbunge, Serikali inayo wajibu wa kugharamia matibabu yake hadi apone ili aweze kuendelea na kazi ya kuwatumikia watanzania na wana Singida Mashariki#Waziri Ummy Mwalimu.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 Michango:
Post a Comment