Wafanyakazi wa afya katika jimbo la mashariki Ikweta walirudia tena
kutumia sindano zisizo na usafi kuwachanja watoto wote.
Waziri wa Afya wa Sudan kusini Riek Gai Kok amesema timu iliyohusika
katika kampeni hiyo ya chanjo haikuwa na vigezo wala kupata mafunzo kwa kazi
hiyo.
Hata hivyo, huduma za afya zimekuwa zikifanya kazi kwa shida Sudan
kusini toka kuanza kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe mwaka 2013.
0 Michango:
Post a Comment