Watu wanne wafariki Z'bar baada kuangukiwa na ghorofa Anonymous 15:05 JAMII , YOWE LA KABWELA Edit Na Mwandishi Wetu WATU wanne wanadhaniwa kufariki dunia akiwemo mama na mtoto wake baada ya kuangukiwa kwa jengo la ghorofa tatu kubomoka Mji Mkongwe, Zanzibar. Shughuli za ukoaji ya watu waliofunikwa na kifusi zinaendelea. Sambaza kwenye Facebook Sambaza kwenye Twitter Sambaza kwenye Google Plus Kuhusu Anonymous Hii ni Blog yenye jukumu la kukupasha habari za Mtanzania mwenye hali ya chini ambaye hajapata nafasi ya kutoa maoni yake. ZINAZOFANANA
0 Michango:
Post a Comment