//
Ads

Trump kujenga ukuta mpakani mwa Marekani na Mexico


Na Mwandishi Wetu
RAIS wa Marekani, Donald Trump amesema kuwa kuhusu usalama wa Marekani imepangwa ikiwemo tangazo la kujenga ukuta kati ya Marekani na Mexico.

Donald Trump amesema kuwa ujenzi wa ukuta mrefu wa wenye maili 2000 katika mpaka wa Mexico ni miongoni mwa mapendekezo yake wakati wa kampeni za urais.

Kutakuwa na mikakati ambayo pia italazimu miji mitakatifu nchini Marekani kushirikiana na mamlaka katika kuwarejesha makwao wahamiaji haramu.

Miji mitakatifu ni maeneo ambayo hayawakamati ama kuwazuia wahamiaji wanaoishi katika taifa hilo kinyume na sheria.
Sambaza kwenye Google Plus

Kuhusu Anonymous

Hii ni Blog yenye jukumu la kukupasha habari za Mtanzania mwenye hali ya chini ambaye hajapata nafasi ya kutoa maoni yake.

0 Michango:

Post a Comment