![]() |
Thomas Lucas Magula (21) anayetuhumiwa kutusi watu kwa kutumia jina la Shilolekiuno_official akiwa chini ya ulinzi |
Na Mwandishi wetu
MWANAFUNZI wa Chuo cha Bandari Thomas Lucas Magula (21) anayetuhumiwa kutusi watu kwa kutumia jina la
Shilolekiuno_official, amepandishwa kizimbani mapema leo asubuhi katika
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni.
Sakata hilo lilizalisha vichwa
vya habari mbalimbali tangu Julai 20, mwaka huu baada ya kijana huyo kukamatwa
na jeshi la polisi kisha kufikishwa kwenye kituo cha Polisi Oysterbay na
kufunguliwa jalada la kesi OB/RB/20932/2010 Lugha ya Matusi kwa Njia ya
Mtandao.
0 Michango:
Post a Comment