//
Ads

Rais Magufuli amteua Prof. Makobo kuwa M/kiti Tume ya Sayansi

Related image

RAIS John Magufuli amefanya uteuzi wa  Mwenyekiti wa Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania.

Ambapo Rais Magufuli amemteua Prof. Makenya Abraham Honoratus Maboko kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania

Prof. Maboko ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na  kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa imesema uteuzi wa Prof. Maboko unaanza Februari 19, mwaka huu.
Sambaza kwenye Google Plus

Kuhusu Unknown

Hii ni Blog yenye jukumu la kukupasha habari za Mtanzania mwenye hali ya chini ambaye hajapata nafasi ya kutoa maoni yake.

0 Michango:

Post a Comment