//
Ads

Hivi ndivyo Jengo la Yanga lilivyonusurika kuuzwa

Saa kadhaa baada ya jengo la klabu ya Yanga kutangazwa kupigwa mnada Agosti 19 sabubu ya kudaiwa kodi ya ardhi zaidi ya Tsh milioni 300,vyanzo vya uhakika vimesema tayari pesa hiyo imepatikana na klabu inafanya mchakato wa kwenda kuzilipa kabla ya kufanyika kwa mnada huo
Sambaza kwenye Google Plus

Kuhusu Anonymous

Hii ni Blog yenye jukumu la kukupasha habari za Mtanzania mwenye hali ya chini ambaye hajapata nafasi ya kutoa maoni yake.

0 Michango:

Post a Comment