//
Ads

Rais Trump kuongeza vigezo, kukabiliana na wahamiaji

Na Mwandishi wetu
Wizara ya usalama wa ndani ya nchi, huko Marekani, ina mipango ya kuwaajiri maelfu ya maafisa wa ziada. 


Watakaohusika kutimiliza hatua kali zilizowekwa na utawala wa Donald Trump, kukabiliana na wahamiaji haramu. Maelekezo hayo yametolewa baada ya utawala wa Trump kusema kuwa, wahamiaji wasio na stakabadhi maalum ya kuishi Marekani na walio na rekodi ya uhalifu, wanahatarisha maisha ya Waamerika au wale ambao wamewahi hujumu mfumo wowote nchini Marekani.
Sambaza kwenye Google Plus

Kuhusu Anonymous

Hii ni Blog yenye jukumu la kukupasha habari za Mtanzania mwenye hali ya chini ambaye hajapata nafasi ya kutoa maoni yake.

0 Michango:

Post a Comment